Quantcast
Channel: SIASA – Zanzibar Daima
Viewing all articles
Browse latest Browse all 197

Waislamu Zanzibar watakiwa kutoa zaka.

$
0
0
Kukosekana kwa Utaratibu nzuri wa Utoaji na Usambazaji wa Zaka ni moja ya matatizo yanayopelekea Zanzibar kuendelea kuwa na Watu wanaoishi katika mazingira magumu na Umasikini uliopindukia. Mwenyekiti wa Jumuiya ya Zaka na Sadaka Zanzibar (JUZASA) Shekh Said Suleiman Masoud ameyasema hayo alipokuwa akitoa nasaha katika Mkutano wa Jumuiya hiyo uliofanyika Ukumbi wa Shamtimba Kiembesamaki […]

Viewing all articles
Browse latest Browse all 197

Trending Articles