Quantcast
Channel: SIASA – Zanzibar Daima
Viewing all articles
Browse latest Browse all 197

Zitto: Wapambe wametufitini na Mbowe

$
0
0
Dar es Salaam. Mbunge wa Kigoma Kaskazini, Zitto Kabwe ameeleza tofauti yake na mwenyekiti wa Chadema, Freeman Mbowe, akisema imesababishwa na watu aliowaita wapambe. Zitto (37), ambaye alikuwa naibu katibu mkuu wa Chadema, alisema kuwa hata kuvuliwa nyadhifa zake ndani ya chama kulisababishwa na wapambe hao, lakini akasisitiza kuwa hana kinyongo tena kwa kuwa alishamwomba […]

Viewing all articles
Browse latest Browse all 197

Trending Articles