Kilichomtokea Dk. Shein mjini Moroni na fasili ya kisheria
Hivi majuzi, Dk. Ali Mohammed Shein alihudhuria sherehe za kuapishwa kwa rais wa visiwa vya Comoro zilizofanyika mjini Moroni. Habari zinasema alikwenda huko kumwakilisha Rais wa Jamhuri ya Muungano wa...
View ArticleKessy, ni wabunge wa Tanganyika wapaswao kutoka kuunda bunge lao
Natafakari tu, kuhusiana na hoja ya Mh. Ally Kessy kuwa Wabunge kutoka Zanzibar wasishiriki shughuli za Bunge pale yanapozungumzwa mambo yasiyo ya Muungano kama vile kilimo, utalii, afya n.k ; […]
View ArticleKMKM Pemba, hamuviwezi vita dhidi ya mwanamke mwenye haki
Kwa muda wa wiki kadhaa sasa eneo la Mtambwe limekuwa na shida ya usafiri kwa njia ya bahari. Eneo hili ni mashuhuri kwa shughuli zake za utumiaji wa vyombo vya […]
View ArticleU.S. Democracy Promotion in Africa: Why Zanzibar Matters
The U.S. government’s relationship with Tanzania took a hit this past year when national elections in October 2015 revealed a decidedly undemocratic streak in a country that U.S. officials had […]
View ArticleMwenye mizinga na mwenye umma, nani hasa mwenye nguvu?
Wiki hii imekuwa wiki ya Micheweni. Imesadifu kwamba watu wawili dhaifu kuitwa na kuhojiwa na mamlaka za dola kwa muda na maeneo tofauti. Ambapo siku ya Jumatano ya tarehe 8 […]
View Article“Tanganyika inaidhibiti Zanzibar kijeshi na kisiasa”
“Kilele cha matumizi haya ya mabavu ya kijeshi ni Uchaguzi Mkuu wa mwaka jana, ambako vibaraka wa Tanganyika katika Zanzibar walikataliwa kabisa na wananchi wa Zanzibar katika Uchaguzi wa Rais,...
View ArticleVituko vya bajeti ya SMZ
Nimeipitia bajeti ya Serikali ya Mapinduzi Zanzibar (SMZ) na kugundua kuwa haitekelezeki na kiini macho cha kiwango cha shahada ya uzamifu (PhD). Kwa haraka haraka nimebaini masuala yafuatayo: Kwanza,...
View ArticleTUNDU LISSU: Mpambanaji aliyeuanza uwanaharakati utotoni
JUNI 3, mwaka huu, Mwandishi Wetu, Godfrey Dilunga, alifanya mahojiano kuhusu masuala mbalimbali na Mbunge wa Singida Mashariki (CHADEMA) ambaye pia ni mwanaharakati wa haki za binadamu, Tundu Lissu,...
View ArticleJe, kifo cha Jumbe chaweza kututanabahisha Wazanzibari?
Mzee Aboud Jumbe Mwinyi, aliyewahi kuwa rais wa Zanzibar, makamu rais wa Tanzania, makamu mwenyekiti wa Chama cha Mapinduzi (CCM) na – kubwa kuliko yote – kiongozi aliyefunguwa milango ya demokrasia...
View ArticleLa mkono wa Maalim Seif na uhalisia wa hisia
Hisia ni kitu ambacho kila kiumbehai anacho kutegemea na hukionesha kulingana na mazingira husika. Tafsiri ya hisia hizo ni za aina mbili – chanya na hasi – kama vile ambavyo kinachozipelekea hisia...
View ArticleDoyo tumekusikia, tunakuhifadhia
Kuna mambo ambayo hatupaswi kuacha yapite hivi hivi pasi kuyajadili kutokana na uzito wa kile kilichojiri au mwenye kukiwasilisha kwa hadhira aliyoikusudia. Uzito wa hili la leo upo pande zote – wa...
View ArticleLipumba na la kuvunda
Hufika muda tunalazimika kukubali matokeo. Inawezekana kuikubali hali hiyo kwa shingo upande au maumivu makali yasiyomithilika. Hata hivyo, maumivu na sononeko hilo haliondowi uhalisia wa mambo. Kwamba...
View ArticleSababu tatu za CUF kupigwa vita na dola
Nimeichukuwa tena na kuisoma kwa makini zaidi taarifa ya wabunge wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kwa tiketi ya Chama cha Wananchi (CUF) ya tarehe 15 Septemba 2016 iliyotolewa mbele ya...
View ArticleCCM Zanzibar yapigana vita vya utengano dhidi ya maridhiano
Historia ya Zanzibar itamkumbuka Amani Abeid Karume kama mmoja wa viongozi waliopigania maridhiano, umoja na demokrasia visiwani humo. Katika kitabu chake Conversation with Myself (Mazungumzo na Nafsi...
View Article“Kimya cha dunia kwa haki ya Wazanzibari chaogofya”
Ukimya wa jumuiya ya kimataifa juu ya suala la uchaguzi mkuu wa mwaka 2015 kwa upande wa Zanzibar kimeanza kuwainua wasomi na wananchi wa kawaida wakihoji dhamira yake. Uchaguzi huo uliofutwa kinyume...
View ArticleNyerere alivyomtetea Karume Accra
KATIKA mwezi wa Machi hali ya hewa jijini Accra, Ghana, huwa inaudhi bila ya kiasi kwa joto linavyokuwa kali. Jioni ndipo huzidi kushtadi. Nadra mvua kunyesha. Siku moja Machi 1958, saa za Magharibi,...
View ArticleMitizamo miwili ya Nyerere juu ya Israel
WIKI iliyopita niliandika kuhusu mazungumzo waliyokuwa nayo viongozi wawili wa kizalendo wa Kiafrika jijini Accra, Ghana Machi 1958. Viongozi wenyewe walikuwa Mwalimu Julius Nyerere na Sheikh Ali...
View ArticleHivi Magufuli autaka kweli Muungano?
Ni jambo la kawaida viongozi wetu kula viapo vya kuulinda Mungano wa Zanzibar na Tanganyika na huyu Rais John Pombe Magufuli viapo vyake huwa vikali zaidi kwa sababu ya khulka yake ya kujifanya si mtu...
View ArticleUlipumba unadumaza demokrasia
KATIKA siasa za Tanzania kuna kupakaziana kwa kila aina, walio madarakani huwakazia wa upande ule wanaoitwa wapinzani. Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) kiliitwa chama cha Wachaga kwa sababu...
View ArticleLa mchanga na uovyo wa Muhongo
Rais wa nchi aliyechaguliwa kidemokrasia hawezi kukubalika kwa watu wote anaowaongoza, ni lazima uwepo upinzani toka upande wa pili. Ikitokea rais akakubalika kwa watu wote kitu demokrasia kitakuwa...
View Article