Kama si leo ni kesho, akinyanyuka The Terminator najuwa umma ulio nyuma yake utanyanyuka naye kwa ari na nguvu ya ajabu, maadui zake waliojitepweka kwa kudhani wamemmaliza, wanapaswa wajiandae kupata kipigo wasichokitegemea kama ilivyowakuta 1995 na 2015. Maalim Seif kwenye siasa za Tanzania, hajawahi kuwa na mtu wa kumzuwia. Ni Terminator wa kwelikweli.
↧